SOKO LA MAGARI
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 115
- 66
NATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA
Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5
weka bei hapa na mahala wa kuwapata
Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5
weka bei hapa na mahala wa kuwapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma namba yakoNATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA
Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5
weka bei hapa na mahala wa kuwapata
Hahahaha nifanyie mpango wa mbuni mkuu...Njoo nikupe bure nipo Serengeti hapa unajikamatia hata ukitaka mbuni njoo mkuu
Naona unapenda kelele na vurugu zao mi walinishinda sitaki hata kuwasikiaNATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA
Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5
weka bei hapa na mahala wa kuwapata
Njoo Dodoma mkuu wapo wa kumwaga hata weupe!NATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA
Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5
weka bei hapa na mahala wa kuwapata
Sh ngapi kwa bei ya jumla ?Njoo Dodoma mkuu wapo wa kumwaga hata weupe!
Hii ya Dodoma,ni kweli...niliagiza huko kanga weupe,na wengine wamadoadoa weupe kwa weusi....kwa jamaa mmoja anaitwa ROBERT NCHIMBI ...NIMEPOTEZA NAMBA YAKE,ILA WEUPE ALINIUZIA 40,000 na hawa wakawaida 20,000 ...sijui kwasasa bei imeshuka au ni ileileNjoo Dodoma mkuu wapo wa kumwaga hata weupe!
Huku uwende na kipindi wenyeji wamevuna ,ukitaka bei nzuri kuanzia mwezi wa 12!Hii ya Dodoma,ni kweli...niliagiza huko kanga weupe,na wengine wamadoadoa weupe kwa weusi....kwa jamaa mmoja anaitwa ROBERT NCHIMBI ...NIMEPOTEZA NAMBA YAKE,ILA WEUPE ALINIUZIA 40,000 na hawa wakawaida 20,000 ...sijui kwasasa bei imeshuka au ni ileile
Ila walikuwa wakubwa wanataga
Inategemea na muuzaji mkuu wanaanzia20'000 na kuendelea.Sh ngapi kwa bei ya jumla ?
ukishindwa kuwapata tafuta mayai utotolesheNATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA
Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5
weka bei hapa na mahala wa kuwapata