SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena.
Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza kodi unalipia kwa miezi 6.
Nimejaribu kutafuta kazi na kuzunguka viwandani huko Machinjioni na Gedeli ila kote nafas zimejaa, nawaombeni wanaJF walio hapa wenye connection ya kazi isiyohitaji elimu wanipe ramani kwa hapa Mwanza nikajarbu wapi!? Naona nitakufa kwa njaa jmn na sitaki kurudi Dodoma sshv ambako ndio nyumbani.
Wapendwa mliopo Mwanza nipeni connection na mimi nipate kuweka mkono kinywani nipo National.
Asanteni.
Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza kodi unalipia kwa miezi 6.
Nimejaribu kutafuta kazi na kuzunguka viwandani huko Machinjioni na Gedeli ila kote nafas zimejaa, nawaombeni wanaJF walio hapa wenye connection ya kazi isiyohitaji elimu wanipe ramani kwa hapa Mwanza nikajarbu wapi!? Naona nitakufa kwa njaa jmn na sitaki kurudi Dodoma sshv ambako ndio nyumbani.
Wapendwa mliopo Mwanza nipeni connection na mimi nipate kuweka mkono kinywani nipo National.
Asanteni.