Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

"Nitakupa mahaba, nitatunza nyumba na tutaishi kawaida..."
Amesema hana kazi anahitaji mwanamke atakayemlea, anayekulea inabidi awe na uwezo kukuzidi katika kesi yetu mleta mada kasema hana kazi hivyo mlezi wake tunatarajia awe na kazi au njia nyingine ya kumuingizia kipato kuweza kumlea mleta uzi.

Nina uhakika aliposema atatunza nyumba amemaanisha atatunza jengo siyo wakazi wa hiyo nyumba.
 

Naam, hakuna raha kama kuleana kati ya mwanamke na mwanamme.
 
Kwa utaalamu huo nakushauri Fungua tu ofisi waje wengi ulipie na kodi ya mapato TRA ili uchumi ukue
 
Utaparamiwa kama wajua para samaki, mi nakuombea upate bonge la bwana lenye boonge la oobm...shenz kabisa, ushoga unaanzaga hivyo hivyo
 
Mkuu umelewa nini?? wapi nimesema nina kipaji? wewe ndo una kipaji cha uongo.

Hahahahahahahaha yalaaaaa 😵😵 we jamaa umetisha sio kidoge et sawa acha niwe mwongo ila aloo wewe wala siwez bishana nawe pita tu bwabwa
 
kila l kheri mkuu kama hiyo ndio njia unayoamini itakutoa
 
Hahhahahha ndo maana nikakuita granny.
 
Mfyuuuu dume zima hovyo! Mbona wenzako wanabeba zege we unashindwa nini mpaka utake kulelewa?
Acha unyanyapaa bana mbona nyie mnatafuta wanaume wenye hela wakati mna uwezo wa kubeba zege, mwenzenu kaona fursa na ukute ameshampata wa kufanana nae, maisha ya leo wanawake wengi wana uwezo mkubwa kifedha lakini hawana furaha ya kimwili, kimaisha, sasa akipata kijana wa kumpa furaha sioni kama ni tatizo.
 
acha ungese, utapirwa mjini hapa! Jishughulishe kijana
Ajishughulishe vipi tena zaidi ya hiyo massage aliyoandika? ukitaka kujua alichoandika ni ujasiri jaribu wewe kuandika kama alivyoandika yeye.
 
Blaza ukifanikiwa na mm niambie.
 
Jamaa kajieleza vizuri sana,

Kumtukana sifikiri kama ni kutatua tatizo,

Kama unaona anatatizo ungesema afanye nini, ungetoa ushauri, afanye kazi, kazi ipi wakati yeye amesha weka wazi kazi anayo ifanya?

Mijamaa humu sijui haijui kusoma!

 
utakuwa una nyodo sana huyo wa kwanza mbona uligoma kumuoa alafu saivi unatafuta typ na age hiyohiyo uliyoikataa awali?


km c wa makonda utakuwa unawaaibisha wanaume wenzio wapambanaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…