Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

huo umbambanaji wako upo kwenye papuchi? mfyuuu nipitie mbali huko
ee mwenyezi Mungu kila mwanaume mwenye nia ya kunichuna,mvivu mvivu kama huyu mleta mada,asie na mpango wa kunipa hela kila nikipita mbele yake mpige upofu au unifanye ninuke kinyesi
Hahahahahaha. Amina
 
Ila ungekuwa mwanamke ungekuwa bonge la mke. Ni maoni yangu tu [emoji16]
 
Dah kweli dunia imeisha.....

Kifuatacho ITV .....
 
Tafuta kazi za kufanya achana na mambo ya kutaka kulelewa na Wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…