Natafuta kazi jamani

dont display your phone number public ukifanya hivyo itakukost. Nenda kwenye profile yako tafuta sehemu ya 'send message' hiyo ndio kuPM ndugu yangu. Hutapata kazi wewe fanya bidii kuomba tu sehemu mbalimbali
Thank you SIPO,kwa kunielewesha,nimeshawasiliana nae
 
Mi nigraduate kutoka cuo cha ustawi wa jamii. nilikuwa nachukua kozi social work. natafuta ka naomba nisaidieen
 
Natafuta kazi, mi ni graduate kutoka chuo cha ustawi wa jamii Dar es salaam. naomba nisidieni
 
Mdau inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana mdau na usikate tamaa kila wakati unapoona chance kwenye magazeti au sehemu yeyote ile wewe apply 2
 
Mi nigraduate kutoka cuo cha ustawi wa jamii. nilikuwa nachukua kozi social work. natafuta ka naomba nisaidieen

kazi umepata, ni-PM.(niko siriazi wakuu msianze kuleta makuzi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…