DONALD
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 275
- 35
Jamani wana ndugu,
kwanza nilikosea kidogo apo mwanzo,maana sehemu za nafasi za kazi mi ndo nimeweka Topic yangu ya Mahakama ya Kadhi,ebu nisameheni kwa hilo...
Lakini mi shida yangu kubwa pia niliyonayo ni kutaka kufanya kazi kwenye Mabenki(benki yoyote ile)
Maana ndugu zangu taaluma yangu ya banking inapotea buree kabisa (nina Advanced diploma in Banking and Finance graduated 2007/08)...nimeaply kwenye mabenki mpaka nimechoka...hivi wanaopata wanafanyeje..
Tafadhari naomba kampany yenu katika hili.....na ntashukuru sana kwa atakaye nisaidia!!!
big up kwa wote nnaotumia Jamii f....
Donald.
0714 345432..macdonaza@yahoo.co.uk
kwanza nilikosea kidogo apo mwanzo,maana sehemu za nafasi za kazi mi ndo nimeweka Topic yangu ya Mahakama ya Kadhi,ebu nisameheni kwa hilo...
Lakini mi shida yangu kubwa pia niliyonayo ni kutaka kufanya kazi kwenye Mabenki(benki yoyote ile)
Maana ndugu zangu taaluma yangu ya banking inapotea buree kabisa (nina Advanced diploma in Banking and Finance graduated 2007/08)...nimeaply kwenye mabenki mpaka nimechoka...hivi wanaopata wanafanyeje..
Tafadhari naomba kampany yenu katika hili.....na ntashukuru sana kwa atakaye nisaidia!!!
big up kwa wote nnaotumia Jamii f....
Donald.
0714 345432..macdonaza@yahoo.co.uk