Natafuta kazi/kujitolea

SOKETI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2010
Posts
206
Reaction score
50
Mimi ni kijana wa kitanzania, ,miaka 25, nina degree ya Accounting and Finance 2011..Natafuta sehemu (kampuni au taasisi ) ntakayo weza kujitolea, kufanya part time au kazi kwa mda ili kuweza kuongeza uzoefu katika kufanya kazi.
 
Ni kwa sababu gani unataka kazi ya kujitolea mkuu wakati uwezekano wa kufanya kazi ya kulipwa upo?
 
nadhani baada ya kukosa kazi ya kulipwa na kila akiomba wanataka uzoefu. nadhani si wazo baya kama akipata wakati anaendelea kutafuta ili akili iwe sambamba na wakati na kutoka pia ni kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…