Natafuta kazi: Mwalimu wa Physics na Chemistry

Natafuta kazi: Mwalimu wa Physics na Chemistry

SAINT MATATA

Member
Joined
Dec 5, 2022
Posts
21
Reaction score
34
Habari zenu waungwana? Ninaleta kwenu ombi la nafasi ya kazi kwa shule ambayo ina uhitaji wa mwalimu wa masomo ya physics na chemistry. Ni binti.

Amemaliza chuo mwaka jana. Shule iwe Dar es salaam au mikoa ya jirani. Ni competent na ni hardworking.

Asanteni sana.
 
Anzia kwenye shule za Kata zilipo karibu ajitolee.
 
Nipe namba p
Habari zenu waungwana? Ninaleta kwenu ombi la nafasi ya kazi kwa shule ambayo ina uhitaji wa mwalimu wa masomo ya physics na chemistry. Ni binti.

Amemaliza chuo mwaka jana. Shule iwe Dar es salaam au mikoa ya jirani. Ni competent na ni hardworking.

Asanteni sana.
Nipe namba pm mkuu, ikiwa Leo itapendeza, location ni kitunda
 
Exciting Opportunity Alert! We're on the hunt for a visionary business partner to join our team and take our company to the next level! As a forward-thinking entrepreneur with a passion for innovation, you'll bring fresh ideas and expertise to help us drive growth and success. If you're looking for a collaborative environment that fosters creativity and mutual respect, let's connect! Send me a message or comment below with your background, interests, and what you're looking for in a partnership. Let's create something amazing together!
 

Attachments

Back
Top Bottom