Habarini ndugu zangu
Nipo hapa natafuta kazi yoyote viwandani, ofsini au mashirika yani popote pale penye kazi halali ya kutumia nguvu au akili, niko kwenye hali ngumu sana ya kimaisha, niko kwenye kipindi kigumu sana na kielimu nina degree ya Geography na Environmental studies niliyomaliza Chuo Kikuu cha Dodoma
Naombeni yeyote mwenye connection ya kazi jamani tusaidiane, nimerudi mkoani Kilimanjaro lakini niko tayari kufanya kazi sehemu yOyote Tanzania
Tuwasiliane wadau Simu ziite ndugu zangu namba yangu ni hii 0741178917 ..
Nipo hapa natafuta kazi yoyote viwandani, ofsini au mashirika yani popote pale penye kazi halali ya kutumia nguvu au akili, niko kwenye hali ngumu sana ya kimaisha, niko kwenye kipindi kigumu sana na kielimu nina degree ya Geography na Environmental studies niliyomaliza Chuo Kikuu cha Dodoma
Naombeni yeyote mwenye connection ya kazi jamani tusaidiane, nimerudi mkoani Kilimanjaro lakini niko tayari kufanya kazi sehemu yOyote Tanzania
Tuwasiliane wadau Simu ziite ndugu zangu namba yangu ni hii 0741178917 ..