Natafuta kazi nimkimbie jk

utiyansanga

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2010
Posts
213
Reaction score
7
Jamani nisaidieni kazi kwenye taasisi za kiraia ,nimechoka kutumikia serikali ya awamu ya nne ,sasa yaelekea bado ninao mpaka m2015! nina BA katka utawala na uzoefu mambo ya jamii hii serious bosi wangu kasema hawezi kulipa mishaara mizuri hata kwa miaka 8!nimemmyima kura kama alivyoomba haikuwezekana!pleas!
 

Mkuu Kukimbia Tatizo si suluhu hata siku moja, Kaa hapo Ulipo na Ninaamini Wewe ndo utakuwa chachu ya mapinduzi

Hebu Soma Summary Ya Hiki Kitabu Mkuu Afu Unipe Matokeo ( Who Moved My Cheese), Tafadhali usidharau nakuomba uchukue muda kusoma
 

Attachments

Wewe kaa hapo hapo umulike ufisadi vizuri, kama una access na mi document ya ufisadi imwage hapa tuwafanyizie live.
 
Ila unatakiwa kuwa muangalifu kama utaendelea kubaki apo
 
bwana Payuka ahsante ,pamoja na wenzako ,unajua nchi hii ni heri usiijue,ukiijua ianuma!
 
usikimbie kazi kwa kumuogopa mwajiri kwani hiyo kazi yeye ni msimamizi wa muda tu atapita watakuja wengine.
 
No best kaa tu hapo hapo ukirekebisha mambo ilitokea bahati nzuri ukapata sehemu waweza kwenda otherwise be patient and keep patience!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…