Natafuta kazi nina certificate ya general agriculture

Dine

Member
Joined
Apr 19, 2012
Posts
57
Reaction score
6
Ndugu wanajf mm nina certificate ya general agriculture hivyo basi nahitaji kupata kazi mahali popote hapa tz katika makampuni na mashirika yanayohusiana na kilimo na mifugo
 
Ndugu wanajf mm nina certificate ya general agriculture hivyo basi nahitaji kupata kazi mahali popote hapa tz katika makampuni na mashirika yanayohusiana na kilimo na

mifugo

Si unakazi na unalipwa Pgss 10?!Acha sanifu bwana.
 
Acheni kumkatisha tamaa mm ninalipwa huo mshahara c mbaya sana​



Nani anaekuspai yeye mwenyewe ndio alie andika hayo hapo juu. Ila Tazama gazeti la mwananchi la yrh 19/14/2012 kuna tangazo linalohusiana watua wa kilimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…