Natafuta Kazi, nina shahada ya social protection

Natafuta Kazi, nina shahada ya social protection

David Kilas

Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
14
Reaction score
15
Habari.

Naitwa DAVID BENJAMIN KILAS. Nina umri miaka 25 na ni mkazi wa Mbeya mjini.

Nimehitimu chuo kikuu IFM kilichopo posta Dar es salaam na kutunukiwa degree ya Social Protection and Actuarial Studies.

Baada ya kuhitimu nilifanya internship fupi ya miezi 8 na baada ya hapo nilianza kutafuta kazi.

Mimi ni expert katika social security laws, labor laws, research, Tax management and Community Development.. Lakin pia Nina a wide knowledge katika microfinance services, banking services and basic knowledge katika biashara.

NI mwanachama pia wa board ya Taifa ya mitihani ya biashara ( NABE )..Kwa sasa naishi Mbeya na ninatafuta kazi.

Ideally napendelea kufanya kazi hapa hapa Mbeya lakin pia naweza kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania..

Namba yangu 0783367426/0766542373
Email: davidkilasbenjamin@gmail.com.com. Asanteni
 

Attachments

Hivi NABE bado ipo? Wewe kijana unaturudisha miaka ya 80. Ha ha ha ha
 
Habari.

Naitwa DAVID BENJAMIN KILAS. Nina umri miaka 25 na ni mkazi wa Mbeya mjini.

Nimehitimu chuo kikuu IFM kilichopo posta Dar es salaam na kutunukiwa degree ya Social Protection and Actuarial Studies.

Baada ya kuhitimu nilifanya internship fupi ya miezi 8 na baada ya hapo nilianza kutafuta kazi.

Mimi ni expert katika social security laws, labor laws, research, Tax management and Community Development.. Lakin pia Nina a wide knowledge katika microfinance services, banking services and basic knowledge katika biashara.

NI mwanachama pia wa board ya Taifa ya mitihani ya biashara ( NABE )..Kwa sasa naishi Mbeya na ninatafuta kazi.

Ideally napendelea kufanya kazi hapa hapa Mbeya lakin pia naweza kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania..

Namba yangu 0783367426/0766542373
Email: davidkilasbenjamin@gmail.com.com. Asanteni
Kuwa na Imani ya Moyo,
Lipo jambo Jema Mungu atatenda kwako.
Mungu hachelewi Mungu hawahi,
atatenda kwa wakati sahihi kwako. Kila la kheri David Kilas
 
kumbe ni expert wa labour laws,
hebu tutajie sheria za kazi za Tanzania
 
Back
Top Bottom