Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Mkazi wa Kigamboni. Nina elimu ya astashahada katika fani ya manunuzi yaani [ procurement, logistics and supply chain management]
Kutokana na changamoto za kimaisha imenibidi kutafuta kazi na siyo kuajiliwa tenah, hivyo nilikuwa naomba kazi, mwenye connection ya kazi aweze kunielekeza sehemu inapopatikana
Nikiwa kijana mwaminifu mwenye kufanya kazi kwa juhudi na kufuata taratibu na misingi ya mwajiliwa naweza kufanya kazi katika sehemu
- mauzo katika maduka, hoteli na sehemu mbalimbali ambapo naweza patiwa nifanye
- kuhudumia wateja sehemu kadha wa kadha kama hotelini supermarket na sehemu takayopangiwa na mwajili
Kutokana na changamoto za kimaisha imenibidi kutafuta kazi na siyo kuajiliwa tenah, hivyo nilikuwa naomba kazi, mwenye connection ya kazi aweze kunielekeza sehemu inapopatikana
Nikiwa kijana mwaminifu mwenye kufanya kazi kwa juhudi na kufuata taratibu na misingi ya mwajiliwa naweza kufanya kazi katika sehemu
- mauzo katika maduka, hoteli na sehemu mbalimbali ambapo naweza patiwa nifanye
- kuhudumia wateja sehemu kadha wa kadha kama hotelini supermarket na sehemu takayopangiwa na mwajili
- hotelini
- pia, naweza kufanya kazi yoyote ile iliyo halali ambayo tapangiwa na mwajili kwa kufuata misingi , kanuni na taratibu za mwajili ili kuweza kufikia malengo ya mwajili
Ahsanteni kwa muda wenu kwawkunisikiliza na nimatumaini yangu in shaa allah tapata ndani ya jukwa hili la JAMIIFORUMSππ
Kwa mawasiliano zaidi
Email hamismahujaji6456@gmail.com
Contact 255 699033664
#NATAFUTA KAZI#