Hello mimi ni binti wa miaka 23 nimehitimu chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka jana 2024 Bachelor of Commerce in Accounting. Mimi kama kijana nahitajii kazi ili niweze kutimiza ndoto zangu maana saizi nipo tu nyumbani roho inaniuma sana naombeni msaada wenu kwa atakayeguswa na hili.
Asanteni sana: 0713776534
Asanteni sana: 0713776534