MMMMHH Ifakara Health Institute wanatoa certificate kweli?Wewe sema umefanya kazi ya kujitolea Data Unit pale ifakara ukapata uzoefu wakakupa barua kwamba umefanya hizo kazi lakini hawatoi mafunzo ya data ?Wasa dogo ..Lakini jitahidi utapata kibarua?Kwa nini pia usiombe hapo nafasi ya kazi Ifakara?