Natafuta kazi ya fundi sanifu wa maabara

Mlonda

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
35
Reaction score
2
Natafuta kazi ya fundi sanifu msaidizi wa maabara, kwa sasa nipo bila kazi baada ya kumaliza mkataba wangu na project ya kimarekani iliyokuwainajishughulisha na utafiti wa malaria.
Nina experience kubwa katika kazi hiyo hasa upande wa malaria sababu nilifanya kazi ya utafiti wa malaria zaidi ya miaka 5.
Ni mchapakazi mzuri.
Atakaye nihitaji tuwasiliane kwa njia ya sms kupitia namba ya 0786135070 au e.mail address "frankgodlisten@yahoo.com".
Naishi Dar maeneo ya Mbezi beach.
 

Tembelea hapa huwa wanatoa kaz za lab tech.

Tanzania Jobs | Jobs in Tanzania | Tanzania Employment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…