Natafuta kazi ya kufundisha komputa chuoni au mwenye uhitaji na it expert!

Natafuta kazi ya kufundisha komputa chuoni au mwenye uhitaji na it expert!

gidytitus

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
332
Reaction score
29
Hi! jameni wana JF naombeni niwashirikishe hili jambo, kama kuna nafasi mahali au unaweza kunipatia kazi ya Ualimu kwa kufundisha somo la komputer naombeni tuwasiliane kwa simu yangu ya mkononi 0658 590 264, au kwa njia ya Email gidytitus@yahoo.com. Ninao uwwezo wa kufundisha somo hilo kwa kuzingatia kuwa elimu yangu ni Shahada (Digrii), Bado npo masomoni lakin nategemea kumaliza mwezi Agosti. Shahada yangu ni BEd in Computer Science, npo Chuo Kikuu cha Tumaini tawi la Makumira, Arusha.
Asante!
 
Hi! jameni wana JF naombeni niwashirikishe hili jambo, kama kuna nafasi mahali au unaweza kunipatia kazi ya Ualimu kwa kufundisha somo la komputer naombeni tuwasiliane kwa simu yangu ya mkononi 0658 590 264, au kwa njia ya Email gidytitus@yahoo.com. Ninao uwwezo wa kufundisha somo hilo kwa kuzingatia kuwa elimu yangu ni Shahada (Digrii), Bado npo masomoni lakin nategemea kumaliza mwezi Agosti. Shahada yangu ni BEd in Computer Science, npo Chuo Kikuu cha Tumaini tawi la Makumira, Arusha.
Asante!
powah mwalimu, naona unataka kuanza kudeliver maujuzi,ikitokea sehemu nitakujuza mkuu.
 
Back
Top Bottom