Hahahahahaa, kiukweli hawa watu wa serikali wanaudhi sana na mbaya zaidi wanafaidisha watu wenye shule binafsi na kuwaacha watoto wa st. Kayumba wakiwa hawana walim wakutosha.
Mi mwenyewe mwezi huu ukipita patupu naweza kutokomea private maana haiwezekani mimi nnaeweza fundisha Chemistry and Biology nkaendelea kutaabika na familia inanitegemea.
Nakuunga mkono mkuu.