natafuta kazi ya kufundisha.

venance H

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
41
Reaction score
24
wakuu habari zenu. mimi ni mhitimu wa shahada ya Elimu mwaka 2013 nimespcialize hesabu. kama kuna shule binafsi wanahitaji Mwl mweye sifa kama zangu tuwasiliane inbox. nipo tiyari kuweka mkataba wa miaka mitano. nimechoshwa na ahadi za ajira mpya.
 
Hahahahahaa, kiukweli hawa watu wa serikali wanaudhi sana na mbaya zaidi wanafaidisha watu wenye shule binafsi na kuwaacha watoto wa st. Kayumba wakiwa hawana walim wakutosha.

Mi mwenyewe mwezi huu ukipita patupu naweza kutokomea private maana haiwezekani mimi nnaeweza fundisha Chemistry and Biology nkaendelea kutaabika na familia inanitegemea.

Nakuunga mkono mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…