Natafuta kazi ya kujishikiza na kujitolea

Natafuta kazi ya kujishikiza na kujitolea

Bizzyboy

Member
Joined
Nov 21, 2018
Posts
71
Reaction score
57
Habari wana JF I hope mpoa.

Mimi mi muhitimu wa diploma ya account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya kujishikiza hata kujitolea ili mradi nisikae nyumbani huku nikijaribu mwaka huu kuomba tena mkopo vyeti tayari ninavyo.

Asanteni
 
Habari wana JF I hope mpoa.

Mimi mi muhitimu wa diploma ya account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya kujishikiza hata kujitolea ili mradi nisikae nyumbani huku nikijaribu mwaka huu kuomba tena mkopo vyeti tayari ninavyo.

Asanteni
tuwasiliane kama upo tayari -0717157640
 
Habari wana JF I hope mpoa.

Mimi mi muhitimu wa diploma ya account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya kujishikiza hata kujitolea ili mradi nisikae nyumbani huku nikijaribu mwaka huu kuomba tena mkopo vyeti tayari ninavyo.

Asanteni
kama una interest ya kujitolea kwa moshi kilimanjaro tuwasiliane 0717157640
 
Back
Top Bottom