Sawa mkuu ila nishatafuta sanaa aisee uwezi kupata bora hata ujishikize sehemu unaweza pata connection..Habari...ushauri wangu ondoa kwanza neno kujishikiza...acha neno kujitolea.
Nipo Temeke Buza mkuu.
Ntakuchek nikupe deal. La baba lishe si unaweza fanya?Nipo temeke buza mkuu..
Mkuu safi ila sijui kupika mkuuNtakuchek nikupe deal. La baba lishe si unaweza fanya?
Nawasubiri mkuu...Ngoja waje kukupa muongozo...
tuwasiliane kama upo tayari -0717157640Habari wana JF I hope mpoa.
Mimi mi muhitimu wa diploma ya account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya kujishikiza hata kujitolea ili mradi nisikae nyumbani huku nikijaribu mwaka huu kuomba tena mkopo vyeti tayari ninavyo.
Asanteni
kama una interest ya kujitolea kwa moshi kilimanjaro tuwasiliane 0717157640Habari wana JF I hope mpoa.
Mimi mi muhitimu wa diploma ya account mwaka jana nilijaribu kuomba mkopo nienndelee na bachelor ila nilikosa. Naomba kama mwenye kunisaidia nipate sehemu hata ya kujishikiza hata kujitolea ili mradi nisikae nyumbani huku nikijaribu mwaka huu kuomba tena mkopo vyeti tayari ninavyo.
Asanteni