natafuta kazi ya kujitolea arusha

natafuta kazi ya kujitolea arusha

Kiboko Yenu

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
311
Reaction score
66
jamani mimi ni mwanafunzi wa udom nataraji kumaliza mitihani yangu wiki hii naomba kwa yoyote atakayeweza kunisaidia kupata kazi ya kujitolea mwezi wa 7 katikati hadi wa kumi anisaidie.ili niweze kupata uzoefu hasa kwenye maswala ya utawala,itifaki,na na organizations naweza kuzungumza kiingereza kiswahili na kifaransa
 
Back
Top Bottom