Nina imani nyote mu wazima,mie ni kijana wa kike mwenye shahada ya elimu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam tawi la Mliman(Mwl Nyerere campus) nimemaliza Mwaka huu.Masomo nilospecialize ni History and Political science as teaching subjects.Nina uwezo wa kufundisha o level na A level.Nimewaomba mnifahamishe maana mazingira ya huku sijaya master sana..ASANTENI
jaman kwanin yeye asinifate halafu geo siipendelei sina ingawa advance ndo comb yang me ni history,civics au general studies