Habari zenu kwa mara nyingine tena ndugu zangu wa JamiiForums wote mko salama salimini.
Naitwa bina nina
Miakai: 29
Elimu: 7
Jinsia: Mwanaume
Natafuta kazi ya kusimamia shamba, kiwanja au Nyumba vyote kwa pamoja ikiwemo kuvifanyia usafi na utunzaji na kwa mkoani mbali na nilipo mimi nakuja kusimamia kuhusu mshahara ni makubalino na wewe mwajiri wangu Nina uzoefu wa mwaka 1 mmoja.
Ninajisemea Mimi kwangu, ninapoajiriwa kusimamia, kiwanja shamba , au Nyumba Sina mkono au chochote kile basi tu sijui niseme nielezeje!? Wadau kaka/dada zangu naomba mniajiri,