Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu, nasoma BA in Economics. Ninauwezo mzuri wa kutumia kompyuta na statistical package kama SPSS na E-views
.
Kwa sasa niko hapa Dar na nitafanya mahali popote.<br />
Ninauwezo na uzoefu katika kazi za kijamii hususan masuala ya vijana, na pia ujuzi wa lugha ya kiswahili na kiingereza.