Natafuta kazi ya mtendaji wa kijiji.

Mr. Masasi

Member
Joined
May 12, 2011
Posts
53
Reaction score
4
Wa jf km m2 anainfomation na kazi za namna hyo tupeane tarifa to phone # 0757922293. Elimu yangu ni km ifuatavyo degree moja ya udom ambayo ukiconvert ni sawa na certificate yyte vyuo vingine vya maendeleo ya jamii. Aliye serious anaijuze mana nko serious ni hzo kazi. Ni pm au ni sms.
 
Nenda website ya utumishi.go.tz, angalia tangazo la trh 22.12.2011 zipo nafasi zimetangazwa, wilaya ya Nachingwea- Lindi
 
Mbona udom mnajidharau hvo wajamen?
 
Hizo nafasi za upolisi ulizotuhabarisha we hazikufai? Kwanini usisubiri hizo?
 
Mbona udom mnajidharau hvo wajamen?

Amejidharau mwenyewe kwa kutaka attention ya kipum'vu kutoka kwa watu., Nadhani anataka kuongeza idadi ya post zake, maana kuna sehemu kapost issue za uongo uongo kuhusu kazi za majeshi.
Mkuu Masasi ka upo serious kutafuta kazi, hauweza kupata kwa njia za kipuuzi unazotumia
 

Huna sifa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…