BeeLoveGee
New Member
- Oct 22, 2024
- 3
- 8
Hello
Ni Binti miaka 24 natafuta kazi ya sales au hata viwandani ku-oparate
Nipo Dar
Ni Binti miaka 24 natafuta kazi ya sales au hata viwandani ku-oparate
Nipo Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo na Uzoefu wa Sales for 2 yearsUmesema sales, ndo unataka ujifunze au una uzoefu na kazi hiyo ? Andika wasifu mzurii na kuvutia wahitaji waone una kitu!
Kila la khery
Elimu Kidato cha Sita nimemaliza Since 2021 sikufanikiwa kuendelea na elimu ya juu kutokana na hali ya wazee wangu nyumbani nikajishughulisha na mswala ya sales kwahiyo nipo apa kuomba au kutafuta kazi yenye itanifanya niweze kukizi majukumu angu iwe ssales supermarket dukani hotelini au hata viwandani asanteElimu Yako ,Ujuzi Wako Pia Unauzoefu na iyo Kazi. Jitahidi kuongeza Vimaneno kidogo Ueleweke.
Ok edit pale mwanzoni sasa ili waajiri wakuone,Nipo na Uzoefu wa Sales for 2 years
Nanipo na utayri wa kujifunza pale itakapohitajika kuongeza ujuzi mwengine Nimemaliza kidato cha sita Mchepuo wa Economics sikufanikiwa kuendelea na chuo kutokana na hali za Wazee nyumbani nikajishughulisha na maswala ya sales
Anazo?Ongezea nyama kidogo
Utapata, naamini. Kila lakheri. Option nyingine jaribu kusoma diploma siku hizi wanatoa mikopo.Elimu Kidato cha Sita nimemaliza Since 2021 sikufanikiwa kuendelea na elimu ya juu kutokana na hali ya wazee wangu nyumbani nikajishughulisha na mswala ya sales kwahiyo nipo apa kuomba au kutafuta kazi yenye itanifanya niweze kukizi majukumu angu iwe ssales supermarket dukani hotelini au hata viwandani asante
🤣Anazo?
Mkopo kwa diploma ni afya na engineer.Utapata, naamini. Kila lakheri. Option nyingine jaribu kusoma diploma siku hizi wanatoa mikopo.