Natafuta kazi ya ualimu

GABE100

Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
51
Reaction score
2
Natafuta kazi ya ualimu katika jiji la dar es salaam. Nina uzoefu wa miaka mitatu na nina diploma ya ualimu wa sekondari katika masomo ya history na geography. Vile vile nina uwezo wa kufundisha somo la civics na general study. Kwa mawasiliano napatikana kwenye 0686731371. kama kuna kazi nyingine ya part time niko tayari kuifanya ilmradi iwe na maslahi na iwe kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…