Natafuta kazi ya ualimu

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
434
MIMI ni mhitimu wa shahada ya ELIMU BA EDUCATION mwenye uzoefu wa wa miaka 2 natafuta shule au chuo cha ualimu niweze kufundisha masomo ya Geography na history.

nipo DSM.
 
mwl unataka shule za private sio??
haya andaa CV yako na barua yako peleka pale barbo johanson mapema next wk, pia pelaka na pal almuntazir girls seminary unaweza ukabahatika. but mm kwa mtazamo wangu ni bora kuomba na serikalin tu ni afadhali kuliko private
 


hiyo shule ya BARBO JOHANSON IKO WAPI?
 
jamani msaada basi wapi nitapata hiyo kazi ya ualimu?nina 3.5 GPA
 
jamani msaada basi wapi nitapata hiyo kazi ya ualimu?nina
3.5 GPA

kwa GPA uliyopata hiyo kwa Education labda ujaribu mikoani hapa mjini
utahangaika sana,pole sana! walau ungepata kuanzia GPA ya 4.5.tungekuhaikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…