Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo, security na house work

Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo, security na house work

Black fighter

New Member
Joined
Sep 5, 2021
Posts
2
Reaction score
2
Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani.

Elimu yangu ni form four level pia na driving certificate ya magari madogo
 
IMG_20230503_141010_410.jpg
 
Back
Top Bottom