mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
wana jf, natafta kazi tajwa hapo juu, ninao uzoefu wa usimamizi wa miradi na afisa mikopo kwa miaka miwili, elimu yangu ni advance diploma ya uhasibu, ninao uwezo wa kuongea kiswahili na kiingereza vizuri.Pia binafsi ni mchapakazi mzuri sana, Kwa muajiri anayetafuta watu wa fani yangu tuwasiliane kwa motherofjolly@yahoo.com nimtumie Cv yangu na vyeti. asante sana.