natafuta kazi ya uhasibu

topilo

New Member
Joined
Aug 25, 2010
Posts
1
Reaction score
0
I am graduate of b. com accounting i find the following post accountant,credit officer and finance 0717835019
 
I am graduate of b. com accounting i find the following post accountant,credit officer and finance 0717835019
Bcom ya wapi hiyo kaka/dada? Andika kiswahili tu utaeleweka na utasaidiwa maana kwa namna ulivyoandika unaweza ukakosa hata kazi unayoitafuta.
 
Elimu zetu hizi mungu atusaidie.sasa we umesoma b com hata lugha inakuwa shida tena?hatukatai kuwa lugha ni ya wenzetu ila bora ungeandika kwa kiswaili ili iwe rahisi ata kueleweka.
 
We have a long iif not wrong way to go...kwa kukusaidia kijana...next time unaandika kiswahili na tutakuelewa vizuri sanaaa....sio kiingereza chako cha ajabuajabu hapa hata hatujui tukusaidie nn
 
jamani mbavu zangu, kweli kingeretha wito ithee!
 
Hapo inaeleweka amepata kazi tayari sasa sijui kapata kampuni gani? Wala sidhani ni B.Com holder atakuwa anajua kuna watu wanakuwa na B.com ameamua kuandika tu (It is a joke)
 
I am graduate of b. com accounting i find the following post accountant,credit officer and finance 0717835019

MOD, please, kwa kumhifadhi, naomba uipeleke hii kwenye jokes ili ionekane alikuwa anataka tukeche jinsi watu wanavyochakachua lugha
 
I am graduate of b. com accounting i find the following post accountant,credit officer and finance 0717835019

Kama kweli wewe ni graduate basi kazi ipo kwenye vyuo vyetu! Usijali kama wewe ni binti basi wasiliana na Mchungaji kuna kazi kwenye kanisa la ufufuo la Masa Evangelical Church.
 
Kasome Daily News, Mtanzania, Habari Leo, Changamoto, Nipashe, Uhuru au sikiliza Clouds FM. Au tizama TBC na ITV.

Kama ndo umetumwa namba zetu za simu, hapa tuko kiusalama zaidi. Sisi wenyewe makachero vilevile.

Badili mbinu, hiyo tumeishitukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…