Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis mwenye umri wa miaka 24, mkazi wa mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni, piah ni muhitimu wa stashahada katika fani ya PROCUREMENT, LOGISTICS AND SUPPLY CHAIN MANAGEMENT, nilikuwa naomba kazi ya aina yoyote Ile inayoweza kunifaa ndugu mtaani ni pagumu.
Ahsanteni🙏🙏
Ahsanteni🙏🙏