Pamoto..Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis mwenye umri wa miaka 24, mkazi wa mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni, piah ni muhitimu wa stashahada katika fani ya PROCUREMENT, LOGISTICS AND SUPPLY CHAIN MANAGEMENT, nilikuwa naomba kazi ya aina yoyote Ile inayoweza kunifaa ndugu mtaani ni pagumu
Ahsanteni🙏🙏
[emoji16][emoji16] daahUnaweza kukimbia na TV inch 72 gizani..?
Kazi zipo mkuu[emoji16][emoji16] daah
Hii inakuwaje mkuuUnaweza kukimbia na TV inch 72 gizani..?
Kazi za usikuHii inakuwaje mkuu
Kazi za usiku unakuwa kiwandani cha kutengeneza Tv auKazi za usiku
🤣🤣🤣🤣 Niuzie tvUnaweza kukimbia na TV inch 72 gizani..?
Kazi za watu hizi ujue wee cheka tuu🤣🤣🤣🤣 Niuzie tv
Nataka tv 😹Kazi za watu hizi ujue wee cheka tuu
Tv ya aina gani mkuu..Nataka tv 😹
Dah!!! Mimi kaka sipo huko kabisa kwenye mambo ya siasa🙏🙏Wewe ni miongoni mwa vijana wa hovyo mnajiita UVccm mlio jaza uwanja wa mkapa mkisema mama hanaupiga mwingi
Shukrani sana🙏🙏Pole ndugu yangu. Nakuhurumia ingiwa majibu ya humu yamenifanya nicheke kwa sauti.