Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni kweli uatafuta kazi ila tafuta namna ya ku communicate what value you can bring to something you are looking for. Najua ni kijana mwenzangu na una muda mzuri wa kujifunza, naomba uka search au kujifunza how to sell yourself in job interview au how to pitch yourself. Apa lets say ningekua mimi ningeingia mtandao wa linkedin kisha nika search baadhi ya makumpuni ninayo ya fahamu, let say Ifakara Health Institue, au kampuni, kisha ningeangalia potential people who are working there lets say HR, Program Officers, etc then ningechukua email zao au kufanya cold DM nakujieleza what value I can bring to them and if they have spots for my role I can suit it. Lets say sample ingekua hv, Hello XTZ mimi XXX ni muhitimu wa shahada ya bitechnology kutoka chuo xyz. Nina uzoefu wa kufanya kitu XYX ambao niliupata baada ya kufanya field kampuni xyz. Nimeona kampuni lako au lenu kama sehemu bora ya kuendeleza ujuzi wangu katika XYZ , ningependa kujua kama naweza kuwa sehemu ya timu yenu.Habarini wakuu mimi ni muhitimu wa BSc. Biotechnology and laboratory science mwaka huu kutoka Sokoine University of Agriculture (SUA).
Natafuta kazi ata nje ya taaluma yangu
Kwa mwenye connection naomba msaada🙏
Kwa kozi yangu niliyosomea au kazi za nje ya vyeti mkuu?unaweza kufanya kazi gani? zitaje kwa uchache tupate mwanga.
Nashkuru sana kiongozi umenipa mwanga wanamna ya kufanya nitafata huu ushauri wako, japo kuna kipindi nilijaribu kwa sehemu chache ila sikupata response yeyote. Kwa sasa ntaufata ushauri wako nijaribu kwenda maeneo yenyewe physically na si kwakutuma ujumbe. Asante sana mkuuMkuu ni kweli uatafuta kazi ila tafuta namna ya ku communicate what value you can bring to something you are looking for. Najua ni kijana mwenzangu na una muda mzuri wa kujifunza, naomba uka search au kujifunza how to sell yourself in job interview au how to pitch yourself. Apa lets say ningekua mimi ningeingia mtandao wa linkedin kisha nika search baadhi ya makumpuni ninayo ya fahamu, let say Ifakara Health Institue, au kampuni, kisha ningeangalia potential people who are working there lets say HR, Program Officers, etc then ningechukua email zao au kufanya cold DM nakujieleza what value I can bring to them and if they have spots for my role I can suit it. Lets say sample ingekua hv, Hello XTZ mimi XXX ni muhitimu wa shahada ya bitechnology kutoka chuo xyz. Nina uzoefu wa kufanya kitu XYX ambao niliupata baada ya kufanya field kampuni xyz. Nimeona kampuni lako au lenu kama sehemu bora ya kuendeleza ujuzi wangu katika XYZ , ningependa kujua kama naweza kuwa sehemu ya timu yenu.
Mimi sio mwanaphysics ila nasikia kuna ntu akifanikiwa jaribio la 1000Nashkuru sana kiongozi umenipa mwanga wanamna ya kufanya nitafata huu ushauri wako, japo kuna kipindi nilijaribu kwa sehemu chache ila sikupata response yeyote. Kwa sasa ntaufata ushauri wako nijaribu kwenda maeneo yenyewe physically na si kwakutuma ujumbe. Asante sana mkuu
Ni kweli kukata tamaa ni zambi mzeeMimi sio mwanaphysics ila nasikia kuna ntu akifanikiwa jaribio la 1000