Natafuta Kazi yoyote ya halali ya usiku

Natafuta Kazi yoyote ya halali ya usiku

mwakavuta

Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
99
Reaction score
306
Wakuu salam,

Mimi ni mhitimu wa chuo mwalimu wa sekondari kutokana na uhaba wa ajira nafanya Kazi za ujenzi kama kibarua. Nashukuru angalau sikosi chochote nimeridhika na Kazi ninayofanya ingawa kipato hakitoshi sana.

Naomba mwenye connection anayeweza kunisaidia kupata kazi yoyote ya usiku ya halali niongeze kipato.

Kuhusu uwezo wa kufanya kazi sina wasiwasi najiamini naweza kufanya kwa weledi na uadilifu MKUBWA.
nipo dar es salaam
 
Njoo Dar uwe watchman wangu mkuuu. Kwa mwezi utakula mshahara mnono wa Tshs 180k. Utakula bure n.k
 
Wakuu salam,

Mimi ni mhitimu wa chuo mwalimu wa sekondari kutokana na uhaba wa ajira nafanya Kazi za ujenzi kama kibarua. Nashukuru angalau sikosi chochote nimeridhika na Kazi ninayofanya ingawa kipato hakitoshi sana.

Naomba mwenye connection anayeweza kunisaidia kupata kazi yoyote ya usiku ya halali niongeze kipato.

Kuhusu uwezo wa kufanya kazi sina wasiwasi najiamini naweza kufanya kwa weledi na uadilifu MKUBWA.
Rudi nyumbani tulime vinyungu
 
Back
Top Bottom