natafuta kazi

jackson beter ungespecify level ya elimu yako..ila wish u da bst
 
niko tarayari ila nina mdogo wangu ambaye ana soma shule ya msingi na ana nitegemea mimi ndie baba au mama.......!!!
 
Kutokata tamaa ni mwanzo wa kufanikiwa kwako, vuta subira!!!
 
Umefanya vyema kuweka hitaji lako hapa jamvini kwani naamini; mahali fulani, mtu fulani, katika wakati huu anamhitaji mtu kama wewe, anakosekana tu wakuwaunganisha, endelea kuwashirikisha marafiki wengi zaidi ili apatikane wa kuku-link na huyo muhitaji. Vile vile unaweza kufikiri jinsi ya kujiajiri kwa hiyo elimu uliyopata, unaweza kutafuta mtu mwenye capital na wewe una ujuzi mkafungua biashara kwa taaluma uliyonayo. Mimi nilishawahi kufanya hivyo na nilifanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…