Natafuta kazi

Kindokyako

New Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
2
Reaction score
0
I am a nurse professionally,worked for health programs with experience of more than 8 years.Please anyone here who have anything or have some connections which will fit me it will be ma pleasure.Pamoja katika ujenzi wa taifa.
 
Kwa fani yako sio mtu wa kuja kutafuta kazi hapa.....watu wa Afya ni hot cake!!! wanatafutwa sana, labda kama unachagua sehemu ya kazi....wewe ni Nurse wa Rank gani?
 
Ningekua nayo nisingekuja apa kuandika yote haya Bushbaby.I am nurse officer,ila lazima iwe dar coz nina evening studies naingia class saa kumi kamili.
 
Ningekua nayo nisingekuja apa kuandika yote haya Bushbaby.I am nurse officer,ila lazima iwe dar coz nina evening studies naingia class saa kumi kamili.

Nilijua kuwa lazima unachagua kituo cha kazi.... kama ni kwa Dar tu...uwe na subira!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…