mtendakazi
Member
- Mar 14, 2012
- 26
- 7
Nyie ndo wale mnaoenda medicine ilikupata sifa... ila sio kwa wito...wewe unadhani kuna kazi gani zaidi ya utabibu katika taaluma yako..??? alafu achenikutukatisha tamaa sisi ambao tunataka kuja kusoma fani hiyo