Natafuta kazi

Makambuya

Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
45
Reaction score
3
Wana jf mi ni kijana wa kitanzania natafuta kazi kama vile: kuuza kwenye maduka ya jumla, hardware, supermarket na statiory.
Sifa zangu:
1. Nina umri wa miaka 25
2. Nimehitimu kidato cha6 (HGL).
3. Nafanya kazi kwa kujituma na chini ya usimamizi mdogo.
4. Nina uzoefu wakutosha kuuza maduka ya jumla na stationary
5. Naweza kutumia kompyuta.
Mwenye kunihitaji tuwasiliane, napatikana Dar es salam maeneo ya Ubungo Riverside kupitia namba 0787344728/0752344728. Asanteni sana wadau.
 

Insha allah tuombe heri kaka. Na kwa kuwa umejitangaza basi kwa uwezo wake atakupatia unachokihitaji. Vuta subira!
 
Nashukuru ndugu kwa maneno yako ya faraja, nazidi kuvuta subira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…