natafuta kazi

man julius

Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
6
Reaction score
1
watanzania wenye moyo wa huruma niwezesheni kazi (part time) ya kufanya hali ni ngumu kwa sisi wazazi ambao hawakuwa na kitu na pia wakatutoka mapema, hata sehemu maalum ya kuishi ya kujivunia kama nyumba shamba hamna, mi nipo chua degree ya kiinjinia udsm lakini mbele sioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…