Mie ni kijana nilie maliza 4m4 mwaka jana sasa nimefaulu nimepata division 3 ya 23 nilikua mchepuo wa science nina C 5 sina F, ila sina pesa ya kujiendeleza nina miaka 19 kazi yeyote ile ila iwe ya kibinadam kwani naishi mie mama yangu ni pamoja na wadogo zangu wa 4 kwani baba alisha fariki tangu 2007 alie kuatayari kuniajiri number 0714329063 naishi Dar es salaam