SafiMbona elfu 50 nyingi sana, ngoja nikupe mbinu utotoleshe mwenyewe tena hautakuwa na gharama za kununua mafuta ya taa.
Twende sasa.......
Nenda mashineni kaombe pumba za mahindi debe 2 kisha uje uziweke kwenye ndoo kubwa mpaka nusu ya ndoo, baada ya hapo chukua mayai yako kisha uyaweke kwenye ndoo yenye pumba kwa mtindo wa kuyalaza, baada ya hapo jazia pumba mpaka juu kabisa kwenye ndoo.
Baada ya hapo subiria siku 21 za kupata vifaranga vyako vya kuku, kama ni bata au kanga utasubiri kwa siku 28.
NB.
Baada ya maelekezo niliyokupa kufeli ndio sasa utapata akili ya kwenda kununua incubator standard yenye bei kulingana na soko.
Kazi njema.
Mkuu nashukuru ila ina uhakika kama asilimia ngapi?Mbona elfu 50 nyingi sana, ngoja nikupe mbinu utotoleshe mwenyewe tena hautakuwa na gharama za kununua mafuta ya taa.
Twende sasa.......
Nenda mashineni kaombe pumba za mahindi debe 2 kisha uje uziweke kwenye ndoo kubwa mpaka nusu ya ndoo, baada ya hapo chukua mayai yako kisha uyaweke kwenye ndoo yenye pumba kwa mtindo wa kuyalaza, baada ya hapo jazia pumba mpaka juu kabisa kwenye ndoo.
Baada ya hapo subiria siku 21 za kupata vifaranga vyako vya kuku, kama ni bata au kanga utasubiri kwa siku 28.
NB.
Baada ya maelekezo niliyokupa kufeli ndio sasa utapata akili ya kwenda kununua incubator standard yenye bei kulingana na soko.
Kazi njema.
[emoji1787][emoji1787]Mbona elfu 50 nyingi sana, ngoja nikupe mbinu utotoleshe mwenyewe tena hautakuwa na gharama za kununua mafuta ya taa.
Twende sasa.......
Nenda mashineni kaombe pumba za mahindi debe 2 kisha uje uziweke kwenye ndoo kubwa mpaka nusu ya ndoo, baada ya hapo chukua mayai yako kisha uyaweke kwenye ndoo yenye pumba kwa mtindo wa kuyalaza, baada ya hapo jazia pumba mpaka juu kabisa kwenye ndoo.
Baada ya hapo subiria siku 21 za kupata vifaranga vyako vya kuku, kama ni bata au kanga utasubiri kwa siku 28.
NB.
Baada ya maelekezo niliyokupa kufeli ndio sasa utapata akili ya kwenda kununua incubator standard yenye bei kulingana na soko.
Kazi njema.
Kaka usikaze shingo, kama unataka kuingia kwenye kufuga basi ingia ukiwa serious.Mkuu nashukuru ila ina uhakika kama asilimia ngapi?