Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Nipo Mwanza kama kuna tu ana connection yoyote ya kazi aniunganishe mtaani kugumu sana. Nina elimu ya degree na pia leseni ya udereva umri wangu miaka 35. Nisaidie wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mee35yrs we ke au??
Mwanza kugumu sana , lkn nikujichanganya tyuNipo mwanza pia kugumu balaa kwa ambao hatuna connection.
Mtoa mada, hauja andika una degree ya nini. Jitahidi kunyoosha sana maelezo.Nipo Mwanza kama kuna tu ana connection yoyote ya kazi aniunganishe mtaani kugumu sana. Nina elimu ya degree na pia leseni ya udereva umri wangu miaka 35. Nisaidie wakuu
Lete idea fursa ndogo ndogo tuone kama tutawezaTatizo mtaji tu ila Mwanza kuna fursa sana, watu wa Rwanda wamejaa sana wanatumia fursa vizuri tu.
Unaweza kufungua cafe ambayo utakuwa unaza coffee kwa bei ya chini tu, kuna warwanda wanauza cappuccino kwa Tsh 2000 na ni nzuri sana, Latte, Americano nk na bei haifiki hata 5000 na watu wananunua hasa mjini hakuna sehem hizo.Lete idea fursa ndogo ndogo tuone kama tutaweza
Kazi za udereva zimejaa dar na dodomaNipo Mwanza kama kuna tu ana connection yoyote ya kazi aniunganishe mtaani kugumu sana. Nina elimu ya degree na pia leseni ya udereva umri wangu miaka 35. Nisaidie wakuu
Mwanza siyo jiji la kwenda kutafuta kazi ndugu mwanza ni jiji la kwenda kufanya biashara siyo kutafuta kaziNipo mwanza pia kugumu balaa kwa ambao hatuna connection.
Mwanza ni jiji la kibiashara siyo jiji la ajiraMwanza kugumu sana , lkn nikujichanganya tyu
Ubalikiwe sana mwanza ukiwa na mtaji kutajilika siku mbili tuUnaweza kufungua cafe ambayo utakuwa unaza coffee kwa bei ya chini tu, kuna warwanda wanauza cappuccino kwa Tsh 2000 na ni nzuri sana, Latte, Americano nk na bei haifiki hata 5000 na watu wananunua hasa mjini hakuna sehem hizo.
Unaweza kuweka biashara ya pweza na ngisi kama kipato chako ni kidogo na ukauza sana hasa ukiweka maeneo ya mjini maana hakuna zaidi ya hotelini au uende nje ya mji ndo utapata.
Biashara ya simu na vifaa vyake inalipa sana kwa mwanza, ikiwezekana tumia miezi hata 6 kajifundishe ufundi simu.
Fursa zipo nyingi tu tena sana.
Nunua Wavu kodi mtumbwi ingia ziwani vua samakiLete idea fursa ndogo ndogo tuone kama tutaweza
Ni pm namba ya Whatsapp mkuuNipo Mwanza kama kuna tu ana connection yoyote ya kazi aniunganishe mtaani kugumu sana. Nina elimu ya degree na pia leseni ya udereva umri wangu miaka 35. Nisaidie wakuu