Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cjasema kazi nimesema kibaruaMkuu sasa si useme una-qualifications gani au unadhani kitengo watu wanaenda tuuu? Ni vema ujijue nini unaweza na nini unataka vinginevyo vitengo vitashindwa kukupatia fursa hata kuku-link maana hujafunguka mkuu
Ur not serious,kibarua ni aina mojawapo ya kazi hata kama unalipwa kwa masaa au kwa kutwa,weka wazi shule yako maana watu hamjui kuwa darasa la saba ndo elimu haswa tena inaitwa ya msingi,au una uzoefu na vibarua vipi? Kuna kibarua cha kusuka nywele za kimasai kama unaweza sema hapa nikufanyie mchongo fasta,ukipenda hata South Africa utapelekwa maana ndo wanalipa zaidi.
Nipo o level naishi ubungo 21yrz
Usije mpa kazi ya kubeba hilo gobore tuHebu ni-pm elimu yako na mahali ulipo. Kuna mahali kuna kibarua.
Kwa kfupi hali mbaya mlio vitengo mtusaidie nasie wa chini namba yangu 0682-113313