Eng Chingy
Member
- Dec 5, 2016
- 86
- 54
kwamba ushawahi kukamilikiHahahah just a joke's mkuu,
Ila viben10 vinaraha yake jaman
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Vyuma vilivyowakazia watu hadi wasiohusika watakuja
Kumbe marioo[emoji15]Furssaaaa hii ngoja niwahii
Nakwambia subiri watoke kazini utakoma especially ile jinsia nyingine![emoji23] [emoji23] haahaaaJaman ni utani tu, msimind tupo jf kwa ajili ya kurefresh mind nakufurah. Kuna watu naona povu linawatoka mmmh
shenz typeJust a joke's jaman huhuhuu
Jf raha sanaKhaaa hongera
"kijana mbichi",usijali chumvi ipoHahahah nimejikuta nimewaza hivyo tu, alafu mm bado kijana mbichiii
Hahahah sawa bebe umepitaHuwa nachukia sana kila fursa zinapotoka nachelewa kuziona aaaah... sasa mimi hata chooni nakupeleka kwa kukubeka na nakusubiria ukimaliza nakusafisha halafu nitakua sina wivu hata nikikufumania kitandani kwetu na njemba nitaliomba msamaha wa kulikata stimu na sikuombi mchezo hata kama ni mwaka mzima nitasubiri uamue wewe. nikubalie fasta kabla wazushi hawaja jaza inzi [emoji23][emoji23]