Natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa mahindi na nafaka nyinginezo

Natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa mahindi na nafaka nyinginezo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Habari natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa nafaka, yaani kupima mahindi au nafaka nyingine zimekauka au zina ubichi kiasi gani

Anayejua vinapatikana na bei zake anijuze
 
Screenshot_20230424-225620_1.jpg
Screenshot_20230424-225824_1.jpg
Screenshot_20230424-225718_1.jpg
1682365924499.jpg
 
Back
Top Bottom