Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Habari natafuta kifaa cha kupimia ukavu wa nafaka, yaani kupima mahindi au nafaka nyingine zimekauka au zina ubichi kiasi gani
Anayejua vinapatikana na bei zake anijuze
Anayejua vinapatikana na bei zake anijuze