Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Nikiri kufaidika na michango yenu kwa jukwaa hili.
Kuna kifaa kinaitwa Respby pi (pichani) nataka kutumia kuanzisha program ya kuaccess masomo bila internet.
Naomba kujuzwa kinapatikana wapi, kinafanyaje kazi? Kama ni mradi kuna maelezo marefu. niko tayari tuandae kikao maalum kujadili. Ntakufidia kwa muda wako
Dr.Mussa Zaganza, 0713039875
Kuna kifaa kinaitwa Respby pi (pichani) nataka kutumia kuanzisha program ya kuaccess masomo bila internet.
Naomba kujuzwa kinapatikana wapi, kinafanyaje kazi? Kama ni mradi kuna maelezo marefu. niko tayari tuandae kikao maalum kujadili. Ntakufidia kwa muda wako
Dr.Mussa Zaganza, 0713039875