Natafuta kijana mwenyeji (mshirika) mwenye eneo kidogo la kufanyia kazi Dar

Natafuta kijana mwenyeji (mshirika) mwenye eneo kidogo la kufanyia kazi Dar

MrforexTz

Member
Joined
Jan 24, 2020
Posts
40
Reaction score
131
Natumai wote wazima! Next week Nina safari ya kuwa huko kibiashara nikitokea Arusha. Nasogeza product yangu kwenye maduka niliyopewa order. Kwakuwa Mimi huko ni mgeni, natafuta kijana mwenyeji(mshirika), mpambanaji/hustle na mwenye eneo kidogo hapo kwake la kufanyia kazi na kuhifadhi product.

Awe mdada/mkaka ni vyema akawa bachelor ili kuepuka mlolongo. Mimi nitafikia Kinyerezi so ni vizuri pia akawa karibu ili iwe rahisi kuziandaa product na kupeleka. Hakuna gharama yeyote unayotakiwa kutoa. Mtaji wako uwe karibu na Kinyerezi na uwe kwako na kusiwe mbali na barabara.

Sasa Utapataje faida/pesa kwenye fursa hii. Njoo inbox.

Huu ni wakati wa kujikwamua kama vijana. Tupambane pamoja.
 
Natumai wote wazima! Next week Nina safari ya kuwa huko kibiashara nikitokea Arusha. Nasogeza product yangu kwenye maduka niliyopewa order. Kwakuwa Mimi huko ni mgeni, natafuta kijana mwenyeji(mshirika), mpambanaji/hustle na mwenye eneo kidogo hapo kwake la kufanyia kazi na kuhifadhi product.

Awe mdada/mkaka ni vyema akawa bachelor ili kuepuka mlolongo. Mimi nitafikia Kinyerezi so ni vizuri pia akawa karibu ili iwe rahisi kuziandaa product na kupeleka. Hakuna gharama yeyote unayotakiwa kutoa. Mtaji wako uwe karibu na Kinyerezi na uwe kwako na kusiwe mbali na barabara.

Sasa Utapataje faida/pesa kwenye fursa hii. Njoo inbox.

Huu ni wakati wa kujikwamua kama vijana. Tupambane pamoja.
Forex nayo ni product?
 
Natumai wote wazima! Next week Nina safari ya kuwa huko kibiashara nikitokea Arusha. Nasogeza product yangu kwenye maduka niliyopewa order. Kwakuwa Mimi huko ni mgeni, natafuta kijana mwenyeji(mshirika), mpambanaji/hustle na mwenye eneo kidogo hapo kwake la kufanyia kazi na kuhifadhi product.

Awe mdada/mkaka ni vyema akawa bachelor ili kuepuka mlolongo. Mimi nitafikia Kinyerezi so ni vizuri pia akawa karibu ili iwe rahisi kuziandaa product na kupeleka. Hakuna gharama yeyote unayotakiwa kutoa. Mtaji wako uwe karibu na Kinyerezi na uwe kwako na kusiwe mbali na barabara.

Sasa Utapataje faida/pesa kwenye fursa hii. Njoo inbox.

Huu ni wakati wa kujikwamua kama vijana. Tupambane pamoja.
Nichek 0747464239 nipo Mbezi kwa Musuguli
 
Sisi wa kigamboni hizi fursa hazituhusu kaka nina eneo kubwa usalama asilimia mia 5
 
Kama hajaacha vumbi na cheche[emoji848] sijui
FB_IMG_16877633735734220.jpg
 
Back
Top Bottom