Natafuta kiki remix

Natafuta kiki remix

makaveli10

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
31,583
Reaction score
92,670
*Natafuta kiki Remix - Mtoto Nux*
_Mbeya Day Records_

Nataka nitoke kwenye gazeti,
Niuze sura
Niseme nilichezaga karate

Shuleni nipate bonge la kesi,
Niumizwe sura,
Nilete matata mpaka kwa Joyce

Kwenye radio zote mpaka runinga
Watangaze nimedundwa
Mpaka uso wangu umevimba

Au niwatukane Walionidunda
Ahsante nimevimba
Na Ndalichako amewatumbua Mimba

Niseme maticha wote wanatetema
Wakiniona wanashindwa hata kuema

Na Ndalichako amenena
Hawa watu na chuo wametemwa

Nataka nilete sinema
Mi ni bondia watu wanasema

Kiki ipi ipo njema
Au nichokoze wanipige tena..

Chorous

Mwenzenu nipigweje
Mwenzenu nipigweje

Nasikia waziri mkali
Wanasemaga Rais hatari
Ndalichako atakubali
Kunipeleka kwa Mako Chali

Mi natafakari
Kuipiga shule charii
Nishakuwa tayari
Tz mi ndio kichwa cha habari

Siku ile nilijaradia,
Nyuma nipo salama
Ila makofi yaliniingia,
Nashindwa kuachama

Salamu ziende kwa wale Maticha
Wamejuta kwa nini walinipiga

Sasa sifati Ratiba
Naogopwa kama Msiba
Naacha Shule naenda kwa kiba
Yoooooooo

Chorous

Mwenzenu nipigweje
Mwenzenu nipigweje

Nipigwe natoa makelele
Kelele oooh kelele x4

Nimekinukisha kinoma noma
Kelele oooh kelele x4

Mbeya day wameisoma
Kelele oooh kelele. By iam_lawrence34
 
Hapa ndio nipo mbeya day studio.

*Natafuta kiki Remix - Mtoto Nux*
_Mbeya Day Records_

Nataka nitoke kwenye gazeti,
Niuze sura
Niseme nilichezaga karate

Shuleni nipate bonge la kesi,
Niumizwe sura,
Nilete matata mpaka kwa Joyce

Kwenye radio zote mpaka runinga
Watangaze nimedundwa
Mpaka uso wangu umevimba

Au niwatukane Walionidunda
Ahsante nimevimba
Na Ndalichako amewatumbua Mimba

Niseme maticha wote wanatetema
Wakiniona wanashindwa hata kuema

Na Ndalichako amenena
Hawa watu na chuo wametemwa

Nataka nilete sinema
Mi ni bondia watu wanasema

Kiki ipi ipo njema
Au nichokoze wanipige tena..

Chorous

Mwenzenu nipigweje
Mwenzenu nipigweje

Nasikia waziri mkali
Wanasemaga Rais hatari
Ndalichako atakubali
Kunipeleka kwa Mako Chali

Mi natafakari
Kuipiga shule charii
Nishakuwa tayari
Tz mi ndio kichwa cha habari

Siku ile nilijaradia,
Nyuma nipo salama
Ila makofi yaliniingia,
Nashindwa kuachama

Salamu ziende kwa wale Maticha
Wamejuta kwa nini walinipiga

Sasa sifati Ratiba
Naogopwa kama Msiba
Naacha Shule naenda kwa kiba
Yoooooooo

Chorous

Mwenzenu nipigweje
Mwenzenu nipigweje

Nipigwe natoa makelele
Kelele oooh kelele x4

Nimekinukisha kinoma noma
Kelele oooh kelele x4

Mbeya day wameisoma
Kelele oooh kelele. By iam_lawrence34
 
Back
Top Bottom